Jumapili, 24 Mei 2015

WATUMISHI WA MUNGU WAKIWA WAMEWEKA MIKONO YAO KATIKA CHOMBO CHA SADAKA NA KUFANYA MAOMBI.



Watumishi wa Mungu na viongozi  na wachungaji wakiwa wameweka mikono yao katika vyombo vya sadaka za watakatifu wa Bwana na kuziombea na kuwaombea wale wote ambao wamewezakutoa sadaka izo na kila mmoja akapate kwenda kukutana na mkono wa Bwana Yesu mwenyewe na wakapate kupata baraka tele katika maisha yao na Mungu akape kwenda kuwajazia pale ambapo wamepunguza na Kuja kutoa kwa Bwana Yesu madhabahuni pake.

0 maoni:

Chapisha Maoni