Jumapili, 10 Mei 2015

WATUMISHI WA MUNGU WAKIWA MBELE YA MADHABAHU YA BWANA WAKIOMBA TOBA KWA MUNGU. 10.5.2015

Watumishi wa Mungu wakiwa mbele ya madhabahu ya Bwana wakiomba Toba Mungu Awasamehe Kwa Kutoihubiri Injili na kuto waambia watu habari za Kristo Yesu. Hakika Mkono Wa Bwana Yesu ulionekana.

0 maoni:

Chapisha Maoni