Jumapili, 24 Mei 2015

USHUHUDA WA MATENDO MAKUU YA BWANA YESU KWA WATU WAKE.

Mama alie simama katikati alie jifunika kanga, anapenda kumshukuru Mungu kwa matendo makuu na ya ajabu ambayo Mungu amemtendea, Kwa Bwana Yesu kumfanikisha kumalizia nyumba yake ambayo aliokuwa anaijenga. Bwana Yesu Apewe Sifa. (ZABURI 9:1)

0 maoni:

Chapisha Maoni