Jumamosi, 23 Mei 2015

KWAYA YA ICC IKIMUIMBIA BWANA KATIKA IBADA YA NNE ILIYOFANYIKA CAPITAL CHRISTIAN CENTER. JUMA PILI YA TAREHE 17.5.2015







Kwaya ya ICC ikumuimbia na kumtukuza Bwana Yesu siku ya juma pili ya tarehe 17.5.2015. katika ibada ya nne , hakika Yesu alionekana na kuwagusa watu kupitia uimbaji wa kwaya hiyo.

0 maoni:

Chapisha Maoni