Jumapili, 24 Mei 2015

MCHUNGAJI MAMA MWOSI AKIWAWEKA NA KUWAOMBEA WATUMISHI WA MUNGU MIKONONI MWA MUNGU KATIKA SAFARI WATAKAZOANZA WIKI YA KESHO.

Mchungaji mama mwosi akiwaweka na kuwakabidhi watumishi wa Mungu akiwemo Mchungaji kiongozi pamoja na Mzee wa kanisa katika safari zao za kwenda mikoani, Mungu akapate kuwalinda na kuwarudisha salama wakiwa wazima kabisa katika jina la Yesu Kristo wa Nazareti alie hai.  (ZABURI 70:1)

0 maoni:

Chapisha Maoni