Jumapili, 2 Novemba 2014

MCHUNGAJI KIONGOZI ASKOFU MKUYU AKIFANYA MAOMBI KWA KANISA LA CAPITAL CHRISTIAN CENTER MIYUJI.



Mchungaji kiongozi Wa Kanisa La Capital Christian Center Miyuji Askofu Mkuyu Akifanya maombi  Ya Kuombea Watu Wote Katika Katika Kanisa La C.C.C Miyuji Pia aliwaombea pia maombi ya Baraka Na Uponyaji Kwa wale Ambao Wanaumwa Na kuwa na matatizo mbali mbali. Yohana 15.5

0 maoni:

Chapisha Maoni