Dr Mchungaji olee akiwa na mke wake madhabahuni pa Bwana pia pichani hapo juu tunaona mke wa mchungaji olee akisalimia kanisa la Bwana , pia na picha ya chini tunaona mke wa mchungaji olee akifanya maombi ya kuombea Neno la Mungu ambalo lilikuwa linasomwa na Mchungaji olee siku hiyo ya juma pili.
0 maoni:
Chapisha Maoni