Jumatatu, 29 Juni 2015

MCHUNGAJI MKUYU PAMOJA NA WATUMISHI WENGINE, WAKIFANYA MAOMBI KWA AJILI YA WATU WENYE MAHITAJI MBALI MBALI, HUKU KIKUNDI CHA KUSIFU NA KUMWABUDU BWANA KIKIMUIMBIA.. JUMA PILI YA TAREHE. 28.6.2015






Mchungaji mkuyu pamoja na watumishi mbali mbali wakifanya maombi kwa ajili ya watu wenye mahitaji mbali mbali ikiwemo na wanafunzi wa chuo wanaoenda kufanya mitahani yao, pia pamoja na wale ambao bado hawajapata wenzi wao wa maisha.Mungu akapate kuwafanikisha katika mahitaji yao.

0 maoni:

Chapisha Maoni