Jumapili, 25 Oktoba 2015

MTUMISHI WA MUNGU KUTOKA UINGEREZA AKILIELEZA KANISA LA TANZANIA NA KUTAKA KUOMBEA SANA MAKANISA YALIYOKO NCHINI UINGEREZA. .... JUMA PILI 25.OCTOBER.205

Mtumishi wa Mungu akiongea na kanisa la capital christian centre na kulitaka kanisa la Capital christian centre  kuomba sana kwa ajili ya makanisa yaliyoko Nchini Uingereza , maana wanahitaji sana Nguvu ya Mungu aliye hai Itende kazi katika makanisa hayo yaliyoko nchini humo, maan akuna mambo mengi sana ambayo hayampendezi Mungu yanayotendeka Katika makanisa hayo,,

0 maoni:

Chapisha Maoni