This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Jumatatu, 29 Juni 2015

UJENZI WA HOSPITALI YA KANISA NA (TAZAMA NA TUNZA) UKIENDELEA VIZURI MPAKA HATUA HII.









Ujenzi wa Hospitali Ya Kanisa Na TAZAMA NA TUNZA FOUNDATION. Ujenzi huo tunamshukuru Mungu Mpaka sasa unaendelea vizuri sana , Hakika Bwana Mungu Ameonekana na anazidi kuonekana katika ujenzi huo wa hospitali. (Wafilipi 2:13)

MCHUNGAJI KIONGOZI ASKOFU MKUYU AKIWA ANATOA MATANGAZO MBALI MBALI PIA AKIWA ANAIELEZEA KIDOGO TIMU YA KUSIFU NA KUABUDU YA WANACHUO AMBAYO ITAKAYO WEKWA WAFU SIKU HIYO. JUMA PILI YA TAREHE. 28.6.2015

Askofu mchungaji mkuyu akiwa anatoa matangazo kidogo pia akizungumzia kidogo tu kuhusu timu ya kusifu na kuabudu ambayo ni ya wanachuo mbali mbali ambayo inaitwa The Spring Of Joy Team. kabla ajaiweka wafu na kuiombea.

MCHUNGAJI MKUYU PAMOJA NA WATUMISHI WENGINE, WAKIFANYA MAOMBI KWA AJILI YA WATU WENYE MAHITAJI MBALI MBALI, HUKU KIKUNDI CHA KUSIFU NA KUMWABUDU BWANA KIKIMUIMBIA.. JUMA PILI YA TAREHE. 28.6.2015






Mchungaji mkuyu pamoja na watumishi mbali mbali wakifanya maombi kwa ajili ya watu wenye mahitaji mbali mbali ikiwemo na wanafunzi wa chuo wanaoenda kufanya mitahani yao, pia pamoja na wale ambao bado hawajapata wenzi wao wa maisha.Mungu akapate kuwafanikisha katika mahitaji yao.

MCHUNGAJI RAPHAEL AKIHUBIRI NENO LA MUNGU KATIKA IBADA YA TATU. JUMA PILI YA TAREHE 28.6.2015


Mchungaji raphael akihubiri neno la Mungu katikia ibada ya tatu

Jumatano, 24 Juni 2015

MCHUNGAJI KIONGOZI ASKOFU MKUYU AKIWA NA WATUMISHI WACHUNGAJI WENZAKE WAKIWA WANAFANYA MAOMBI MAALUMU KWA AJILI YA VIJANA WAO WALIOTANGAZA UCHUMBA. JUMA PILI YA TAREHE. 7.6.2015





Mchungaji kiongozi Askofu mkuyu akiwa pamoja na wachungaji wenzake wakiwa wanawafanyia vijana wao maombi maalum baadaya kutangaza uchumba wao kanisani hapo, ili Mungu akapate kuwatangulia katika uchumba wao na kuelekea kufunga ndoa.

Jumatano, 17 Juni 2015

MTUMISHI EMMANUEL AKIMVALISHA PETE YA UCHUMBA MCHUMBA WAKE KIPENZI KUTOKA KWA BWANA. JUMA PILI YA TAREHE. 7.6.2015.








Emmanuel akimvalisha pete ya uchumba mchumba wake kipenzi madhabahuni pa Bwana , ambaye ni mke wake mtarajiwa.

Ijumaa, 12 Juni 2015

MCHUNGAJI MSAIDIZI ZEPHANIA MKUYU AKIWA ANATOA MAELEZO KIDOGO KUHUSU PETE HIYO YA UCHUMBA AMBAYO ALIOKABIDHIWA NA BWANA HARUSI


Mchungaji msaidizi Zephania mkuyu akiwa madhabahuni mwa Bwana akiwa anatoa maelekezo kuhusu pete iyo ya uchumba aliokabidhiwa na Bwana Harusi mtarajiwa kabla kabla ajamvalisha mchumba wake kipenzi na mke wake mtarajiwa.

WATUMISHI WA MUNGU WAKINA MAMA WA WWK. WAKIENDA KUMUINUA BIBI HARUSI MTARAJIWA NA KUMPELEKA MBELE MADHABAHUNI PA BWANA AMBAPO MCHUMBA WAKE MTARAJIWA YUPO. ( JUMA PILI TAREHE 7.6.2015)




Watumishi wa Mungu wakimpeleka bibi harusi mtarajiwa pindi tu alipotangazwa na mchungaji kuwa yeye ndie mchumba mtarajiwa , pia vile vile tunaona watumishi wa Mungu wakishangilia kwa furaha na kuwashangilia wachumba hao, Emmanuel pamoja na Binti Ella

MTUMISHI EMMANUEL AMBAYE NI BWANA HARUSI MTARAJIWA AKIWA AMEBEBWA JUU WAKATI AKITANGAZWA NA MCHUNGAJI KWAMBA YEYE NDIE ANAETANGAZA UCHUMBA. JUMA PILI TAREHE 7.6.2015





Mtunishi Emmanuel akiwa amebebwa juu kwa furaha na vijana wenzake wakati alipotajwa na mchungaji kwamba yeye ndie Bwana harusi mtarajiwa na anatangaza uchumba wake siku hiyo.

Jumanne, 9 Juni 2015

MTUMISHI EMMANUEL AKIWA MADHABAHUNI MWA BWANA AKIWA NA MKE WAKE MTARAJIWA.

Jumapili, 7 Juni 2015

ASKOFU MCHUNGAJI MKUYU AKIFANYA MAOMBI MAALUMU KWA MTUMISHI WA BWANA AMBAYE AMEPATWA NA MATATIZO.

Askofu mchungaji mkuyu akifanya maombi maalumu mazito kwa ajili ya Mtumishi wa Bwana akiwa katika matatizo makubwa sana.

MTUMISHI WA MUNGU AKIMSHUKURU KWA MATENDO YAKE MAKUU ALIOMTENDEA KATIKA MAISHA YAKE.

Mtumishi Wa Mungu akimshukuru Mungu Kwa matendo makuu aliomtendeka katika maisha yake.

MTUMSHI WA MUNGU EMMANUEL AMBAYE NI BWANA HARUSI MTARAJIWA AKIWA KATIKA POZI ZITO

Mtumishi wa Mungu Mzee wa Kanisa la Vijana akiwa katika picha na pozi Zuri akisubiri tu kuja kupokelewa na wenzake kulekwa madhabahuni pa Bwana na kumvalisha mchumba wake mzuri kutoka kwa Bwana.

MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE

Mwalimu mwakasege akihubiri na kufundisha maneno ya Mungu katika viwanja vya Dodoma .