Jumanne, 16 Septemba 2014

MTUMISHI KIJANA WA BWANA BARNABAS NYOROBI AKIAGA KANISA.

Mtumishi Kijana Wa yesu Akiaga Kanisa Juma pili hii  Ya Tar. 14.9.2014 Kuelekea Singida Kwa Ajili Ya Kazi Ya Bwana Katika Kitengo Cha Jinsia Na Watoto Akichaguliwa Kuwa Kama Mkurugenzi wa Kitengo Hicho.Tunamuombea Mungu Amtangulie Kijana Wetu Nyorobi.AMEEN...( 2 WAKORINTHO 4;1)

0 maoni:

Chapisha Maoni