Jumatano, 3 Septemba 2014

MCHUNGAJI RAPHAEL AKIHUBIRI KATIKA TAMASHA LA KUSIFU NA KUABUDU.



 Mchungaji Raphael Mcungaji Wa vijana  akihubiri  Neno La Mungu Siku ya Tamasha La Kusifu Na Kuabudu., Hakika Watu Walifunguliwa Siku Hiyo Katika Tamasha La Kusifu Na Kuabudu Na kuponywa Siku Hiyo.   (Mithali 12;1). Kila Apendaye Mafundisho Hupenda Maarifa.

0 maoni:

Chapisha Maoni