Jumatatu, 3 Novemba 2014

MWINJILISTI DEUSI AKIFANYA MAOMBI KWA BINTI ALIEAMUA KUMPA YESU MAISHA YAKE SIKU HIYO YA JUMA PILI YA TAREHE 2.11.2014 KATIKA IBADA YA NNE.





Mtumishi deusi akifanya maombi pamoja na watumishi wengine maombi ya kumuombea na kumfunika kwa damu Ya Yesu binti alieamua kumpa Yesu maisha yake juma pili hii katika ibada ya nne. Hakika Bwana Yesu alionekana siku iyo.

0 maoni:

Chapisha Maoni