Jumanne, 21 Julai 2015

KUNDI LA KUSIFU NA KUABUDU LA THE RIVERS OF JOY, WAKSIKILIZA MAHUBIRI KUTOKA KWA ASKOFU MICHEL KUTOKA BUKINAFASSO, KATIKA IBADA YA TATU. JUMA PILI TAREHE 19.7.2015



Kundi la kusifu na kuabudu la The Rivers Of Joy International Dar es salaam likiwa limeamua kuja kutembelea na kufanya huduma ya uimbaji pamoja na watumishi wote wa capital christian centre., pia pichani ni walikuwa katika uwepo wa kusikiliza neno la Mungu  michel kutoka Bukinafasso (.Zaburi 34;1-3)

0 maoni:

Chapisha Maoni